iqna

IQNA

vladimir putin
Diplomasia
MOSCOW (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478004    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/08

Utakatifu wa Qur'ani
Rais wa Urusi (Russia) Vladimir Putin alisema Qur'ani ni takatifu kwa Waislamu na inapaswa kuwa takatifu kwa wengine pia.
Habari ID: 3477219    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/01

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Russia ametangaza utayarifu wa nchi hiyo wa kuwa na ushirikiano mkubwa wa kibiashara na kiutamaduni na nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3477019    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

Waislamu Russia
TEHRAN (IQNA)- Ramzan Akhmadovich Kadyrov, Rais wa Jamhuri ya Chechenya ndani ya Shirikisho la Urusi amesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo anaiehsmu sana Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475553    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jioni ya jana ​​(Jumanne) alifanya mazungmzo na Rais Vladmir Putin wa Russia na ujumbe aliofuatana nao hapa mjini Tehran, ambako amelitaja suala la Syria kuwa muhimu sana na kusema: Suala jingine muhimu katika kadhia ya Syria ni uvamizi wa Wamarekani na kukaliwa kwa mabavu ardhi zenye rutuba na zenye utajiri mkubwa wa mafuta za mashariki mwa Furati (Euphrates), na suala hili linapaswa kupatiwa ufumbuzi kwa kufukuzwa Wamarekani kwenye eneo hilo.
Habari ID: 3475519    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/20

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan mran Khan anasema ni muhimu kufanya kazi katika kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3474974    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/25

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu amesema mbele ya Waislamu wa Msikiti Mkuu wa Moscow, mji mkuu wa Russia kwamba, Misikiti ni nyumba za Mwenyezi Mungu ardhini na inamlea vizuri Muislamu na jamii yake.
Habari ID: 3474831    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/21

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameunga mkono msimamo wa Rais Vladimir Putin wa Russia ambaye amepinga wale wanaomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474726    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26

Rais Vladimir Puton wa Russia amesema harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ina nafasi muhimu katika uga wa kisiasa nchini Lebanon.
Habari ID: 3474455    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

TEHRAN (IQNA) – Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa wito kwa kuwepo jitihada za pamoja baina ya Russia na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) katika kukabiliana na changamoto za kimataifa.
Habari ID: 3472241    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/29

TEHRAN (IQNA) – Rais Vladimir Putin wa Russia amenukulu aya kadhaa za Qur'ani Tukufu katika kutoa wito wa kumalizika vita dhidi ya Yemen ambavyo vilianzishwa miaka mitano iliyopita na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3472133    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/17

TEHRAN, (IQNA)-Mwanamke Muislamu, Aina Gamzatova, ametangaza kujitosa katika uchaguzi wa urais wa Russia Machi 2018 kwa lengo la kumuondoa madarakani Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471335    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/01